Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu atembelea Shule ya Sekondari Lwandai.

Askofu Dkt Msafiri Joseph Mbilu, leo tarehe 23/05/2021 ametembelea na kuonana na wanafunzi,walimu pamoja na wafanyakazi wa Shule ya Sekondari  Lwandai inayo milikiwa na KKKT Dayosisi ya Kaskazini Mashariki kwa lengo la kuwasalimu. Amesema amefurahi kuona mazingira ya shule yakiwa katika hali nzuri na rafiki kwa wanafunzi kujifunza huku akiupongeza uongozi wa Shule kwa juhudi wanazoendRead More…